Afande Sele Adai Rais Magufuli Pekee Ndio Uwekewe UKOMO wa Miaka 30 Urais, Akimaliza Turudi Kwenye 10

Kuhusu kuondoa ukomo wa mihula ya urais, napendekeza mabadiliko yafanyike na yaandikwe kabisa kwenye katiba ya kwamba anayeongezewa mda ni Rais @MagufuliJP, akimaliza miaka yake 30 tunarudi kwenye utaratibu huu wa kawaida wa miaka 10 tulionao sasa hivi :Afande Sele
#Ukomo_Urais.

Toa maoni yako kisha #SHARE

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1