VIDEO: Magufuli "Nimechoka kuwa Rais, ni Mateso"


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesisitiza kuwa chama hicho ni kiwanda kinachopika viongozi bora, hivyo hana mpango wa kuongeza muda wa kukaa madarakani kinyume na Katiba ya chama hicho na Katiba ya nchi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI:

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1