Kubenea AJITOA Kugombea Uongozi Chadema Kisu Tundu Lissu

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu anafaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, hivyo amejitoa kugombania nafasi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 18, 2019

Amesema Lissu ataweza kufanya kazi ambazo yeye angeweza kuzifanya

Endapo watateuliwa na Baraza, Mbunge wa Viti Maalumu wa (CHADEMA), Sophia Mwakagenda atachuana na Tundu Lissu kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bara

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1