Yoweri Museveni Ataka Wauaji Wanyongwe

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amekaririwa akizitaka mahakama zihakikishe wauaji wananyongwa ili kumaliza uhalifu nchini humo.
Museveni ambaye amekuwa akitoa kauli hiyo katika mikutano ya hadhara, hivi karibuni ameahidi kukabiliana na mahakama ili kuhakikisha wauaji wananyongwa 

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1