Watuhumiwa wa Ujangili Wakamatwa na Silaha na Minofu ya Nyama Pori

Arusha
Watuhumiwa wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya Ujangili kinyume na Sheria za Nchi

Wamekamatwa wakiwa na silaha mbili za kivita na za Jadi, pamoja na meno mawili ya Tembo na minofu ya Nyamapori

Jeshi la Polisi linaendelea na mahojiano na uchunguzi ili waweze kufikishwa mbele ya Vyombo vya Sheria

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1