Wachezaji wanne Yanga SC kuikosa Ndanda SC


Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara , Yanga SC kesho wanashuka kwenye dimba la Nangwanda Sijaona Mtwara kuvaana na Ndanda SC huku wakikosa huduma za wachezaji wao wanane kutokana na sababu tofauti.

Wachezaji hao ni Feisal Salum, Abdulaziz Makame, Lamine Moro, Juma Balinya, Ali Ali, Maybin Kalengo, Paul Godfrey na Cleofas Sospeter.

Kwa mujibu wa meneja ambaye pia ni mratibu wa timu hiyo Dismas Ten, Feisal Salum amepewa ruhusa maalum ya kwenda kumuuguza mzazi wake, na wengine saba wanakosekana kutokana na kuwa majeruhi.

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1