Tshabalala Alichofanyiwa na Wachezaji Wenzake Noma Sana


NAHODHA Msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein, ‘Tshabalala’ leo ameonja joto ya jiwe mbele ya wachezaji wake kwa kumpaka matope mwili mzima.

Tukio hilo limetokea leo kwenye mazoezi ikiwa ni kumbukizi ya miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake wakiwa mazoezini viwanja vya Gymkyana.

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1