Rais Magufuli "CAG Tambua Mwenye Serikali Yupo Ukipewa Maagizo Tekeleza"

"CAG mpya nakutakia kazi njema , usije ukaenda uko ukakajifanya na wewe ni Muhimili, Mihimili ni mitatu tu Bunge, Mahakama na Serikali, kwenye kiapo chako umesema wewe ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwahiyo mwenye Serikali yupo" - JPM

"CAG ukipewa maagizo na Mihimili mingine kama Bunge katekeleze usibishinae nao, ukipewa maagizo na Mahakama kaitekeleze wewe ni Mtumishi, CAG wewe ni Mtumishi"- JPM

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1