Mama aliyevunjwa mkono kuchangiwa fedha mbele ya Rais Magufuli


Rais John Magufuli alipowaamuru viongozi watendaji wa Kahama kumchangia mama aliyekuwa akitwanga kokoto kisha kuvunjwa mkono na mtuhumiwa aliyefahamika kwa jina la Daudi ambaye alimpiga na kumvunja mkono huku vyombo vya ulinzi na usalama vikishindwa kumchukulia hatua na kumsaidia.

Rais Magufuli amesema amefanya hivyo ili viongozi hao wajifunze kushughulikia malalamiko ya wananchi badala ya kumsubiri yeye barabarani.

Kila kiongozi mtendaji aliamuriwa kumchangia shilingi 50,000 na kufanikiwa kupata shilingi 500,000 papo hapo.

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1