Hii Dunia Masikini ya Mungu Sijui Tunaelekea Wapi. Yaani siku Hizi ni Rahisi Kutembea na Mke wa Mtu Kuliko Asiyeolewa

Hi Pals,

I hope mko poa Right.

Kusema ukweli mimi ni kijana ninaye ishi uswahilini,na kutokana na kuishi uswahilini imenifanya nijifunze vitu vingi.

Mimi huwa sishindi nyumbani ila weekend ndio huwa nashinda nyumbani,licha ya kushinda nyumbani weekend hiyo fupi imefanya nijifunze kuhusu hawa wake za watu.

Nimegundua asilimia 80 ya wanawake walio olewa wana chepuka na kati ya hao asilimia 20 walio baki basi kati yao wanatafuta njia au sababu za kuchepuka.

Hawa wake za watu asilimia kubwa huchepuka ili kutafuta good sex and heavy,ni wanawake wachache walio olewa huchepuka ili wapate pesa,

Mimi kwa huu muda mchache ambao nime shinda nyumbani nimebaini kuwa asilimia kubwa ya wake za watu hasubiri umtongoze ila kuna ishara atakufanyia au vitendo ili uweze kuingia kwenye himaya yake,

kuna mdada ni jirani hapa ameolewa na mume wake ana kila kitu,mwezi wa 7 nikiwa hom nafua alimtuma mwanae hot pot mbili zimejaa vyakula,dogo akanambia,mama kanituma nikuletee chakula,can imagine huyu dada nilikuwa sina mazoea naye zaidi ya salamu tu,nilipokea kile chakula nikapeleka ndani then nikarudi kufua,nilivyo maliza kufua nikala ule msosi,kusema ukweli kilikuwa ni chakula cha gharama sana,nilivyo maliza kula nikachukua vile vyombo nikaosha ili baadae niwapelekee ili nishukuru maana mahesabu ya kupika tena siku hiyo sikuwa nayo tena,

Mida ya saa tisa alasiri nikiwa nimekaa zangu kibarazani na laptop yule mdada alikuja nikamkaribisha,tulipiga story sana,baadae akaniuliza,vipi ulipata ule mzigo wangu?

Nikamjibu,nilipata,nikamshukuru sana kwa mapishi,yule dada akasema,mmh wifi anafaidi,,,nikamwuliza.Kwanini,,akanambia wenzio toka tuolewe hata tupike almasi huwezi kusifiwa kama masifa haya uliyo nimwagia,,

Huyu dada nilipiga naye story mpaka tukafikia hatua akaanza kunieleza vitu vya ndani kabisa hasa mapungufu ya mume wake,,,mara oooh basi tu nimeolewa ila mimi yatakuja kunishinda,nikamwambia ,Kwani kuna kitu hupati kwa mumeo?

Mara oooh mume wangu nampenda ila sasa ninahisi kumchoka,ikabidi niingize utani, Au show hapigi ile sana ninii,,akaguna,,,mmmh hiyo pia inawezekana,Ikabidi nimshauri,,hilo tatizo haliwezi kufanya umchukie mumeo coz hilo ni suala dogo,wew mwambie ukweli kuwa hutosheki,atakuelewa tu,Huyu dada alichonijibu ni kuwa,mimi mwenzio nishamchoka,Ikabidi tena niingize utani,,basi nipe mimi,,,mmh lakini siyo rahisi unavyofikiria (akasema hvo),

Tuliendelea kupiga story mpaka saa 12 jion,akaniomba namba ya simu,toka hapo duuh,umekula mpenzi,mara oooh nimekumicc nataman weekend ifike nije tushinde wote,mara oooh naskia baridi,

Siku moja nikiwa zangu hom jumapili nimetoka misa akaja kanivalia khanga tu,nikasema Leo hapana,kamata piga sana miti,toka siku hiyo ikawa ni mwendo wa kunisumbua,yani mpaka usiku mume wake akiwa ameenda kuoga Anaweza kukwambia aje umpige kimoja,

Huyu dada nilikuja kumwacha baada ya kuona anakoelekea ni kutafuta njia ya kumuua mume wake,mana kuna siku aliwahi kunitamkia kabisa akisema anatafuta dawa ya kumfanya mume wake awe chizi au afe kabisa,na nilichokuja kugundua ni kweli alikuwa kwenye mchakato huo,nikaona suruhisho ni mimi kumpiga chini cz jamaa alikuwa ni kama kijana mwenzangu so nilimwonea huruma.

Dada huyu alifanya kila njia ili niweze kurudi kwake ila alishindwa Ikabidi azoee,

Kilicho fanya nilete huu uzi ni kuwambia watu walio oa kuwa mke wako ukisha mgundua kuwa anachepuka au kumhisi ni bora uachane naye,acha kusikiliza ushauri wa watu eti ukimfumania mkeo kaa naye umwulize kwanini kafanya hvo,huo ni ujinga,ukiona mwanamke kachepuka ujue kuna mapungufu makubwa kashaona kwako,Na mwanamke akiwa ndani ya ndoa akachepuka hawez tena kubadilika Hata akalishwe na ukoo mzima,

Mwanamke akichepuka,tambua kuwa pesa yako wew mwanaume ndo inatumika kwenda kumfurahisha yule mwanaume wa mkeo,na bado hela yako itatumika kwenda kwa waganga ili akufanye zuzu ili usimfuatilie,na kwa akili za baadhi ya wanawake anaweza akakupa hata sumu ili ufe kusudi abaki akienjoy na mchepuko wake,

Kikubwa zaid na cha kusikitisha ni kuwa wanawake wengi walio olewa wakichepuka hujikuta wakiingiliwa kinyume ili kufurahisha zaidi michepuko yao,hili nimelishuhudia Jana tu kwenye simu ya mshikaji ndo nikapata nguvu zaidi ya kuleta uzi huu,Narudia tena kusema ukigundua mkeo anachepuka na ukathibitisha ni heri uachane naye,usipoteze muda wa kutafuta ushauri cz hatabadirika tena,Anaweza kuchange ndani ya miezi kadhaa ila akarudia Yale yale na kabla hajarudia lzm akufanye zuzu kwanza,Na mwisho wa siku UKIMWI unao.Acha kusema eti mna watoto tayari,chukua watoto peleka kwa mama yako au tafuta beki tatu akulelee watoto japo siyo sawa ila utakuwa umejiweka salama.

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

Maana ya kufunga Maana ya kufunga katika Uislamu: Ni kufanya ibada kwa ajili ya Allah kwa kujizuia na kuacha kula, kunywa, kujamiiana, pamoja na vitu vyote vyenye kufunguza, kuanzia kuchomoza kwa alfajiri –ambao ni muda wa adhana ya Alfajiri- mpaka kuzama kwa jua – ambao ni muda wa adhana ya Magharibi-. «...Basi atakayekuwa katika mji (hayuko safarini) miongoni mwenu katika mwezi (wa Ramadhani) aufunge». Sura Albaqara, aya 185. Ubora wa mwezi wa Ramadhani Mwezi wa Ramadhan ni mwezi wa tisa katika miezi ya mwezi muandamo katika kalenda ya Kiislamu. Ni mwezi bora zaidi katika mwaka. Allah ameuhusisha peke yake kuliko miezi mingine kwa sifa nyingi bora na za kipekee, na miongoni sifa hizo bora ni hizi: Kwamba Ramadhan ni mwezi ambao Allah ameuhusisha na kushuka kwa Qur’ani kitabu kitukufu na bora kuliko vitabu vyote. Allah Mtukufu amesema kuwa: «Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur’ani ikiwa ni muongozo kwa watu, na hoja zilizo wazi za muongozo na upambanuzi. Basi atakayekuwa mjini miongoni mwenu katika mwezi huu, basi afunge». (Sura Albaqara, aya 185) Mtume, swallalahu alayhi wasalam, amesema kuwa: «Utakapoingia mwezi wa Ramadhani milango ya pepo hufunguliwa, na milango ya Jahanamu hufungwa, na mashetani hufungwa minyororo». (Bukhari, Hadithi Na. 3103, Muslim, Hadithi Na. 1079). Hakika Allah ameuandaa mwezi huu kwa waja wake ili waelekee kwake kwa kufanya ibada na kuacha maovu. Kwamba mwenye kufunga mchana wa Ramadhani na akasimama usiku wake (kwa kuswali), Allah humsamehe madhambi yake yaliyopita. Mtume, swallalahu alayhi wasalam, amesema kuwa: «Mwenye kufunga Ramadhani kwa kuamini na kutaraji kupata malipo ya Allah, husamehewa madhambi yake yaliyopita». (Bukhari, Hadithi Na. 1910, Muslim, Hadithi Na. 760). Pia Mtume amesema kuwa: «Mwenye kusimama (kwa kuswali) katika Ramadhani kwa kuamini na kutaraji kupata malipo ya Allah, husamehewa madhambi yake yaliyopita». (Bukhari, hadithi na. 1905, Muslim, Hadithi Na. 759). Kwamba ndani ya mwezi wa Ramadhani kuna usiku wenye hadhi kubwa (Lailatul Qadri), usiku ambao ni bora sana kuliko nyakati nyingine za usiku za mwaka mzima. Allah ameeleza katika kitabu chake kwamba kufanya jambo jema ndani ya usiku huo ni bora zaidi kiliko kulifanya jema hilo siku nyingi nyingine. Allah amesema kuwa: «Lailatulqadri ni bora zaidi kuliko miezi elfu moja». (Sura Alqadri, aya 3). Mwenye kusimama katika usiku huo kwa kuamini na kutaraji kupata malipo ya Allah husamehewa madhambi yake. Huo ni usiku uliopo katika siku kumi za mwisho katika mwezi wa Ramadhani, na hakuna yeyote anayejua tarehe yake kwa uhakika. Ubora wa kufunga «Ambaye hakuacha kusema uzushi na kuutumia hakuna haja kwa Allah katika kuacha chakula chake na kinywaji chake». Kufunga kuna fadhila nyingi ambazo zimeelezwa katika sheria. Miongoni mwazo ni hizi zifuatazo: Kwamba mwenye kufunga mwezi wa Ramadhani kwa kumuamini Allah, kutii amri zake, kuamini fadhila zake zilizotajwa na sheria na kuwa na matarajio ya kupata thawabu kwa Allah, atasamehewa madhambi yake yaliyopita. Mtume, swallalahu alayhi wasalam, amesema kuwa: «Mwenye kufunga Ramadhan kwa kuamini kutaraji kupata malipo ya Allah, husamehewa madhambi yake yaliyopita». (Bukhari, Hadithi Na. 1910, Muslim, Hadithi Na. 760). Pia mwenye kufunga atafurahia malipo atakayoyapata wakati wa kukutana na Mola wake kwa sababu ya funga yake. Mtume, swallalahu alayhi wasalam, amesema kuwa: «Mwenye kufunga ana furaha mbili: furaha wakati wa kufungua kwake na furaha wakati wa kukutana na Mola wake». (Bukhari, Hadithi Na. 1805, Muslim, Hadithi Na.1151) Peponi kuna mlango unaoitwa Arrayaan. Haingii yeyote kupitia mlango huo isipokuwa tu wenye kufunga. Mtume, swallalahu alayhi wasalam, amesema kuwa: «Hakika, peponi kuna mlango unaoitwa Arrayyaan. Wenye kufunga wataingia kupitia mlango huo Siku ya Kiama. Haingii yeyote kupitia mlango huo ila wao tu. Patatolewa tangazo kwamba: Wako wapi wenye kufunga? Watasimama. Hataingia yeyote kupitia mlango huo isipokuwa wao tu. Wakishaingia, utafungwa na hataingia yeyote kupitia hapo». (Bukhari, hadithi Na. 1797, Muslim, Hadithi na. 1152) Pia Allah ameyahusisha kwake yeye tu malipo na thawabu za mfungaji. Ikiwa malipo ya mtu yanatoka kwa Mkarimu, Mtukufu, Mtoaji sana na Rahimu sana, anatakiwa ayafurahie yale ambayo Allah amemuandalia. Mtume, swallalahu alayhi wasalam, katika Hadithi Qudsiy amesema kuwa: «Matendo yote ya mwanadamu ni yake yeye isipokuwa funga. Funga ni yangu, na mimi ndiye nitakaye itolea malipo». (Bukhari, Hadithi Na. 1805, Muslim, Hadithi Na.1151) Hekima ya funga Allah amefaradhisha kufunga Ramadhani kwa hekima nyingi na faida mbali mbali katika dini na dunia, na miongonimwazo ni hizi: Kuthibitisha kumtii Allah na kumuogopa. Hiyo kutokana na kuwa funga ni ibada ambayo mja anajiweka karibu ya Allah kupitia ibada hiyo kwa kuacha anavyo vipenda, na kuyazuia mataminio yake. Anaidhibti nafsi yake kwa kumcha Allah na kumuogopa kila sehemu na kila wakati, katika siri na katika dhahiri. Kwa sababu hii, Allah Mtukufu anasema kuwa: «Enyi mlio amini, mmefaradhishiwa kufunga kama walivyofaradhishiwa waliokuwepo kabla yenu ili mpate kuwa wenye kumuogopa Allah». (Sura Albaqara, aya 183) Mazoezi ya kuacha maasi na madhambi Mwenye kufunga ajizuiapo kufanya mambo yaliyo halali kwa kufuata amri ya Allah atakuwa na uwezo zaidi wa kuyadhibiti mataminio yake ya kutaka kufanya maasi na madhambi, atachunga mipaka ya Allah na hatajiachia katika kufanya maovu. Mtume, swallalahu alayhi wasalam, amesema kuwa: «Mtu ambaye haachi kusema uzushi na kuufanyia kazi, basi Allah hana haja ya kuacha chakula chake na kinywaji chake». (Bukhari, Hadithi Na. 1804). Maana ni kwamba: Mtu ambaye haachi uongo na kufanya uchafu katika kauli na vitendo, huyo hajayafikia makusudio ya funga. Kuwakumbuka wenye shida na kuwasaidia Hiyo inatokana na kwamba katika funga kuna mazoezi ya kupambana na ukata, njaa, na kuwakumbuka maskini ambao wanapambana na hali ya kutokuwa na pato la kutosha siku zote. Kwa kufunga, mja huwakumbuka ndugu zake masikini na namna wanavyoteseka na mambo mawili machungu; njaa na kiu, na kwa sababu hiyo, atafanya juhudi ya kuwasaidia na kuwafariji.

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU