BREAKING: Wabunge wanne Chadema kukamatwa


Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imeamuru wabunge wanne wa (Chadema) John Heche, Mchungaji Peter  Msigwa, Halima Mdee na Ester Bulaya wakamatwe kwa kukiuka masharti ya dhamana.

Amri hiyo imetolewa leo na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya wabunge hao kutokuwepo mahakamani bila taarifa yoyote. Hata wadhamini wao pia hawakuwepo.

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1