Bodi ya Ligi yatangaza Kocha na Mchezaji Bora wa Mwezi
Mchezaji wa timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jafari Kibaya amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Oktoba wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2019/20.
Pia Kocha wa timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro, Zuberi Katwila amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Oktoba wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2019/20.
Pia Kocha wa timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro, Zuberi Katwila amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Oktoba wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2019/20.

Comments
Post a Comment