Basi la kampuni ya Majinjah Lapata Ajali


Basi la kampuni ya Majinjah ambalo lilikuwa safarini kutoka Kyela kuelekea Dar, limepata ajali maeneo ya Kitonga leo.

Mashuhuda wanadai chanzo cha ajali ni kufeli kwa breki za basi hilo.
 
RPC Iringa amesema tayari RTO ameelekea eneo la tukio na baadae watatoa taarifa kwa undani.

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1