Bakwata: Maadhimisho ya MAULID Kufanyika Novemba 09
Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa mnamo Novemba 09, 2019 yatafanyika maadhimisho ya Kitaifa ya Maulid katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza
BAKWATA imebainisha kuwa hayo yanajiri kutoka na kundama kwa mwezi siku ya Jumanne ya tarehe 29 mwezi wa 10 mwaka huu

Comments
Post a Comment