IMANI YA MUISLAMU

Ujumbe wa Mitume wote kwa watu wao umeafikiana juu ya kumuabudu Allah pekee asiyekuwa na mshirika, na kuwakataa wale wanaobudiwa badala ya Allah. Hii ndio hakika ya maana ya Laa ilaaha Ilallah (hakuna anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Allah tu), Muhammad Rasuulullah (Muhammad ni Mjumbe wa Allah). Na hilo ndio neno ambalo kwalo mtu anaingia katika dini ya Allah. Shahada mbili: maana na masharti yake Kukiri kuwa Muhammad ni Mtume wa Allah Nguzo sita za imani Kumuamini Allah Kuamini Malaika Kuamini Vitabu Kuamini Mitume Kuamini Siku ya Mwisho Kuamini Kadari

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUSWALI HATUA KWA HATUA

UTUKUFU WA MJI WA MAKKA NA MSIKITI MTUKUFU

Kisa Cha Nabii Ibraahiym عليه السلام - Sehemu Ya 1