Posts

Showing posts from March, 2020

Marekani yaionya Iraq kuhusu mashambulizi dhidi ya kambi zake

Image
Marekani yaionya Iraq kuhusu mashambulizi dhidi ya kambi zake Muungwana Blog · Muungwana Blog 2 · 12 hours ago TAZAMA VIDEO HII KISHA SUBSCRIBE YOUTUBE Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo, ameionya Iraq akisema nchi yake italipiza kisasi ikiwa kambi za jeshi la Marekani zilizoko Iraq zitashambuliwa tena. Katika mazungumzo ya simu na waziri mkuu wa Iraq Adel Abdel Mahdi, Tangazo la wizara ya mambo ya nje mjini Washington limesema kuwa Pompeo amesisitiza kuwa lazima wanaofanya mashambulizi dhidi ya kambi za Marekani wachukuliwe hatua. Mazungumzo baina ya viongozi hao yalifanyika jana Jumapili, siku moja baada ya wanajeshi watatu wa Marekani kujeruhiwa katika shambulizi la maroketi dhidi ya kambi ya Marekani na washirika wake Kaskazini mwa mjini mkuu wa Iraq, Baghdad, likiwa la pili kubwa kuilenga kambi hiyo katika muda wa wiki moja. Wanajeshi kadhaa wa Iraq pia walijeruhiwa katika shambulio hilo.

UPDATE ZA MAAMBUKIZI YA CORONA 17/3/2020

Image
Update za maambukizi ya Corona Dunia nzima kwa siku ya leo tarehe 17/3/2020, TAZAMA VIDEO HII KISHA SUBSCRIBE YOUTUBE WALIO AMBUKIZA KWA UJUMLA:  182,742 VIFO KWA UJUMLA :  7,174 WALIOPONA KWA UJUMLA:  79,883 NCHI ZILIZO THIBITISHA:  162  COUNTRY, OTHER TOTAL CASES NEW CASES TOTAL DEATHS NEW DEATHS TOTAL RECOVERED ACTIVE CASES SERIOUS, CRITICAL TOT CASES/ 1M POP China 80,881 +21 3,226 +13 68,690 8,965 3,226 56.2 Italy 27,980 2,158 2,749 23,073 1,851 462.8 Iran 14,991 853 4,996 9,142 178.5 Spain 9,942 342 530 9,070 272 212.6 S. Korea 8,320 +84 81 +6 1,401 6,838 59 162.3 Germany 7,272 17 67 7,188 2 86.8 France 6,633 148 12 6,473 400 101.6 USA 4,727 +64 93 +7 74 4,560 12 14.3 Switzerland 2,353 19 4 2,330 271.9 UK 1,543 55 52 1,436 20 22.7 Netherlands 1,413 24 2 1,387 45 82.5 Norway 1,348 3 1 1,344 27 248.7 Sweden 1,121 7 1 1,113 2 111.0 Belgium 1,058 10 1 1,047 33 91.3 Austria 1,018 3 8 1,007 12 113.0 Denmark ...